Mhariri Mkuu wa kituo cha redio cha
EFM Radio cha Jijini Dar es Salaam, Scholastica Mazula akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Hassan Abbas wakati wa ziara yake ya kutembelea ofisi za
kituo hicho leo Jijini humo kwa ajili ya kubadilishana mawazo na uzoefu wa kazi.
Mhariri Mkuu wa kituo cha redio cha
EFM Radio cha Jijini Dar es Salaam, Scholastica Mazula akitoa ufafanuzi kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Hassan Abbas wakati wa ziara yake ya kutembelea ofisi za
redio hiyo leo, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kubadilishana mawazo na uzoefu
wa kazi. Kulia ni Mtangazaji wa redio hiyo, Boneventure Kilosa.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Hassan Abbas
akiwa katika picha ya pamoja na Mtangazaji wa kipindi cha michezo cha redio ya
EFM, Ibrahim Masoud “Maestro” wakati wa
ziara yake ya kutembelea ofisi za kituo hicho leo Jijini Dar es Salaam kwa
ajili ya kubadilishana mawazo na uzoefu wa kazi.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Hassan Abbas
(mwenye suti) akiwa katika picha ya pamoja na Mtangazaji wa kipindi cha Ubaoni
kinachorushwa hewani na kituo cha redio
ya EFM, Silvester Mjuni (kushoto) wakati wa ziara yake ya kutembelea
ofisi za kituo hicho leo Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kubadilishana mawazo
na uzoefu wa kazi. Wengine kushoto ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya
Habari, Jonas Kamaleki na Afisa Habari Beatrice Lyimo.
Mtangazaji wa kipindi cha UBAONI
kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha cha EFM cha Jijini Dar es Salaam,
Silvester Mjuni (katikati) akiendesha mahojiano maalum ya kipindi hicho na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Hassan Abbas (kushoto) wakati wa ziara yake ya kutembelea
ofisi za kituo hicho kwa ajili ya kubadilishana mawazo na uzoefu wa kazi. Kulia
ni Afisa Habari (Maelezo), Jonas
Kamaleki.
No comments:
Post a Comment