Mtangazaji wa kipindi cha mitikisiko ya pwani Khadija Shaibu maarufu kwa jina la Dida (wa pili kushoto) akiwa na wanenguaji wa Boziana Faila Boendi (kushoto) na Blausesse Ayembe (wa pili kulia) pamoja na mtangazaji wa kituo hicho Amina Singo.
Mtangazaji wa kipindi cha mitikisiko ya pwani Khadija Shaibu maarufu kwa jina la Dida (wa pili kushoto) akiwa na wanenguaji wa Boziana Faila Boendi (kushoto) na Blausesse Ayembe (wa pili kulia) pamoja na mtangazaji wa kituo hicho Amina Singo.