Mwanamuziki mkongwe kutoka DRC Kongo, Bozi Boziana akijiandaa kwa mahojiano katika Kituo cha Times Radio F m 100.5 alipotembelea leo. Kutoka kulia ni Scholastica Mazula na Amina Singo watangazaji wa kituo hicho.
Home
Unlabelled
Bozi Boziana atembelea studio za Radio Times 100.5 Fm leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Boziana wana wanenguaji wazuri hao sijawahi kuona. Angalia nyuso zilivyonona.Hawa ndo wacongolese pure."Banabake banatakiwa bawe kama hivi siyo ile banabake ba KOffi,awilo au bale banabake ba Dany engobo."
ReplyDeleteWe michuzi shwain sana, narudia tena tanzania bila mkorogo inawezekana, kama malaria inapigwa vita hadharani na mkoro nao upigwe vita hii ndo mbaya zaidi ni future cancer!!!! hakuna kubana hapa hizi ni zama za ukweli na uwazi, unamuogopa nani??????????????! mwanaume kujiamini!!!
ReplyDelete